Video: Lulu alivyogeuka bibi harusi Mahakamani leo

Kesi ya Elizabeth ‘Lulu’ Michael inayomkabili ya kumuuwa muigizaji mwenzake Steven Kanumba bila kukusudia imeendelea kusikilzwa tena Jumatano hii katika Mahakama Kuu. Baada ya jana muigizaji huyo kutimua mbio mahakamani hapo akiwakimbia waandishi wa habari, leo ameamua kuja na style ya aina yake kugeuka kama bibi harusi. Tazama video hapa chini.

             Lulu alivyogeuka bibi harusi Mahakamani leo



Recommended video for you

Tazama Lulu alivyotua Mahakamani akisindikizwa na mvua



No comments

All rights are recieved.. Theme images by LonelySnailDesign. Powered by Blogger.