Chelsea Kuivaa Manchester City

Timu zote zinareja kwenye ligi zikiwa na nguvu baada ya kila moja kushinda kwenye mechi za Ulaya katikati ya juma
Manchester City watasafiri hadi London kwa mechi yao Ligi Kuu Uingereza dhidi ya Chelsea Jumamosi jioni.
Man City wanarejea tena dimbani baada ya kushinda 2-0 Ligi ya Mabingwa dhidi ya Shakhtar Donetsk Jumanne. David Silva alitoa pasi yake ya 7 ya golikwa msimu huu baada ya kumtengenezea Kevin de Bruyne. Raheem Sterling aliingia akitokea benchi kumaliza kazi.

No comments

All rights are recieved.. Theme images by LonelySnailDesign. Powered by Blogger.